Tuesday 19 January 2016

KIKAO CHA KUFUNGUA MWAKA [UMAKI]2016

(kushoto)Mwenyekiti wa UMAKI Bi.Agnes Mandawa akiwa na Mratibu Bi.Edina Mdoe wakiwa katika kikao cha bajeti Kibaha Mkoani Pwani

Mwenyekiti wa UMAKI Bi Agnes Mandawa akifafanua jambo

Akina Mama wa UMAKI wakiwa katika sala kabla ya kuanza kikao cha Bajeti

Akina mama wa UMAKI wakipata chakula baada ya kikao cha kufungua mwaka cha Bajeti

No comments:

Post a Comment