Sunday 29 May 2016

Kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam chini ya Askofu wake Dr Valentino Mokiwa yazidi kuzalisha Maaskofu.

Askofu mteule wa Dayosisi ya Ruvuma Canon Ruben Rafael Haule akiwa na mkewe akizungumza mbele ya wajumbe wa Standing Commitee baada ya kutambulishwa na Baba Askofu Dr Valentino Mokiwa.Mpaka sasa Dayosisi ya Dsm imetoa Maaskofu kumi

No comments:

Post a Comment