Sunday 29 May 2016

Askofu Dr Valentino Mokiwa awapandisha madaraja baadhi ya watumishi wa Dayosisi kuwa Mashemasi na Ma Padre.

Waamini wakishuhudia kupandishwa madaraja Mashemasi na Ma Padre Mt Albano Upanga Dsm.

Askofu Dr Valenti Mokiwa akiongoza misa  misa ya kuamriwa kuwa Mashemas na Ma Padre.

No comments:

Post a Comment