Saturday 18 June 2016

KANISA ANGLIKANA DAYOSISI YA DAR ES SALAAM KATIKA MKAKATI WA KUANZISHA RADIO.

Mkurugenzi wa Azam Televisheni Ndugu Tiddo Mhando kushoto na Mtangazaji Mahiri Charles Hilally kulia pamoja na wajumbe wengine wakishiriki kikao cha uanzishwaji wa Radio ya Dayosisi.

Katikati ni Mwenyekiti wa kikao cha uanzishwaji Radio ya Dayosisi Ndugu Leonald Malango akiongoza kikao

Kulia Mtangazaji wa Azam Televisheni ndugu Charles Hilally akifuatilia kwa makini kikao.

Kushoto Mkurugenzi wa Azam Televisheni Ndugu Tiddo Mhando akifuatilia kikao hicho.

Katikati Mhashamu Baba Askofu Dr Valentino Mokiwa akiongoza kikao cha wajumbe wa kamati mbalimbali zililzotokana na maagizo ya Mkutano wa Sinodi ya 19.

Baadhi ya wajumbe mkakati uanzishwaji Radio.

Kushoto Afisa Habari wa Dayosisi Ndugu Yohana Sanga akiwa na baadhi ya wajumbe.

No comments:

Post a Comment