Sunday 19 June 2016

DR SIMON WALTON AMALIZA MUDA WAKE KUKITUMIKIA KITUO CHA AFYA CHA KANISA ANGLIKANA DAYOSISI YA DSM KILICHOPO BUGURUNI.

Familia ya Dr Simon ikiwa katika hafla ya kumuaga.


Ni kwa Neema tu,Dr Simon akicheza na baadhi ya wafanya kazi kituo cha Afya cha kanisa Anglikana Buguruni.

Dr Simon Walton aliwasihi wafanya kazi kufanya kazi kwa upendo na ushirikiano.Anatarajia kurudi nchini Uingereza hivi karibuni.

Dr Simon Walton akiwa na Mkuu wa kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Dayosisi Ndugu Yohana Sanga.

Dr Simon akijaribu shati moja ya zawadi alizozawadiwa na wafanya kazi.

No comments:

Post a Comment