Thursday 22 October 2015

KITUO CHA AFYA BUGURUNI ANGLIKANA CHAZIDI KUBORESHA HUDUMA ZAKE ZA AFYA.




Mtoto akipimwa uzito



Mkurugenzi wa kituo cha Afya Buguruni Anglikana DR Simon Walton.
Mmoja wa Madaktari wa kituo hicho akifanya vipimo katika maabara.

Moja ya chumba kilicho katika matayarisho ya utoaji wa huduma za upasuaji.

No comments:

Post a Comment