Thursday 22 October 2015

MATANGAZO

MAANDALIZI YA KALENDA.


Ofisi ya Dayosisi inaomba Mitaa kuleta picha Idara ya Habari hapa Dayosisi kwa ajili ya kuandaa Kalenda ya mwaka 2016 kabla ya tarehe 30 Nov 2015.

ALMANAC.


Ofisi ya Dayosisi imeanza kuandaa ALMANAC ya mwaka 2016.Mitaa inaombwa kuwasilisha ratiba za matukio kabla ya tarehe 30 Nov 2015,hapa Idara ya Habari na Mawasiliano Dayosisi .

BIMA


Pia Dayosisi inawatangazia waumini na Watanzania wote kuwa Idara yake ya Bima (ANGLO INSURANCE AGENCY) imeendelea kutoa huduma zake za bima za kawaida na maisha(General and life assurance)ikiwemo bima za magari,nyumba,afya,biashara,elimu,maisha,ajali,majaliwa,n.k.

                          KARIBU UPATE HUDUMA BORA.

No comments:

Post a Comment