Sunday 11 October 2015

MAVUNO YA UMAKI

NAOMBA BEI
Mratibu wa Umoja wa wanawake (UMAKI) wa Dayosisi Bi.Edina Mdoe akiinadi saa wakati wa sikukuu ya Mavuno katika kanisa la Kristo Ni Mfalme Kinondoni



                        MAMA NI LANGO LA BARAKA
Father Napera akiendesha ibada ya sikukuu  ya mavuno,ambapo katika ujumbe wake alisisitiza kuwa mwanamke ni nguzo ya pekee katika maendeleo ya Familia

No comments:

Post a Comment