Friday 25 December 2015

MATUKIO YA IBADA YA KRISMASS KANISA KUU ANGLIKANA ST ALBANO UPANGA.

UJUMBE WA KRISMASS-HESHIMUNI NDOA ZENU.

Askofu wa kanisa Anglikana Dr Valentino Mokiwa  Dayosisi ya Dar-es-salaam akiongoza Ibada ya Kkrismass katika kanisa kuu la St Albano Upanga

Askofu mokiwa aliwaasa wanandoa kuheshimu ndoa zao.

Baadhi ya waumini wakishiriki Ibada.

Mpiga kinanda wa kanisa la St Albano Bwn Jeffy.
Mwinjilist Baliko akisoma neno.

MATUKIO SIKU YA MAVUNO VIWANJA VYA ST AUGUSTINE BUGURUNI.

Askofu Mokiwa akiwa na kamati ya maandalizi ya mavuno.

Askofu Mokiwa akitoa vyeti vya heshima kwa vigango na mitaa iliyovuka lengo katika uchangiaji wa mavuno

Katibu mkuu wa Dayosisi Jonathan Senyangwa akinyanyua juu kikombe cha ushindi cha uchangiaji mavuno

Wednesday 2 December 2015

VALLENTINE CHIDRENS HOME (VIDEO)



Kutokana na kuongezeka kwa watoto wa mitaani na ya yatima,Askofu wa kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar-es-salaam Dr Vallentino Mokiwa  kwa ushirikiano na wahisani kutoka nchi za nje kwa huruma yake ameamua kuanzisha kituo cha watoto yatima kiitwacho Vallentine Chidren's Home kilichopo Buza jijini Dar-es-salaam.Kituo kina watoto 19 na kinalelewa na Masister wawili.

Ili kupunguza tatizo la watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi, Askofu Mokiwa ameomba wadau mbalimbali yakiwemo makanisa kujitokeza kusaidia ili kupunguza tatizo hilo.

ANGALIA VIDEO HAPO CHINI