Friday 25 December 2015

MATUKIO SIKU YA MAVUNO VIWANJA VYA ST AUGUSTINE BUGURUNI.

Askofu Mokiwa akiwa na kamati ya maandalizi ya mavuno.

Askofu Mokiwa akitoa vyeti vya heshima kwa vigango na mitaa iliyovuka lengo katika uchangiaji wa mavuno

Katibu mkuu wa Dayosisi Jonathan Senyangwa akinyanyua juu kikombe cha ushindi cha uchangiaji mavuno

No comments:

Post a Comment