Friday 25 December 2015

MATUKIO YA IBADA YA KRISMASS KANISA KUU ANGLIKANA ST ALBANO UPANGA.

UJUMBE WA KRISMASS-HESHIMUNI NDOA ZENU.

Askofu wa kanisa Anglikana Dr Valentino Mokiwa  Dayosisi ya Dar-es-salaam akiongoza Ibada ya Kkrismass katika kanisa kuu la St Albano Upanga

Askofu mokiwa aliwaasa wanandoa kuheshimu ndoa zao.

Baadhi ya waumini wakishiriki Ibada.

Mpiga kinanda wa kanisa la St Albano Bwn Jeffy.
Mwinjilist Baliko akisoma neno.

No comments:

Post a Comment