Wednesday 2 December 2015

VALLENTINE CHIDRENS HOME (VIDEO)



Kutokana na kuongezeka kwa watoto wa mitaani na ya yatima,Askofu wa kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar-es-salaam Dr Vallentino Mokiwa  kwa ushirikiano na wahisani kutoka nchi za nje kwa huruma yake ameamua kuanzisha kituo cha watoto yatima kiitwacho Vallentine Chidren's Home kilichopo Buza jijini Dar-es-salaam.Kituo kina watoto 19 na kinalelewa na Masister wawili.

Ili kupunguza tatizo la watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi, Askofu Mokiwa ameomba wadau mbalimbali yakiwemo makanisa kujitokeza kusaidia ili kupunguza tatizo hilo.

ANGALIA VIDEO HAPO CHINI


No comments:

Post a Comment