Monday 30 November 2015

MATUKIO KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA VALENTINE CHIDREN'S HOME BUZA DSM.

Jengo wanaloishi watoto yatima Valentine Chidren's home kituo  kinachofadhiliwa na Askofu Dr Valentino Mokiwa wa kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar-es-salaam na wahisani kutoka nchi za nje.

Askofu Dr Valentino Mokiwa akifurahi pamoja na watoto yatima Buza.

                                                               TUIMBE
Askofu Mokiwa akiimba na watoto yatima.

Askofu Mokiwa akitoa zawadi kwa watoto yatima.

Sister  Lucy Lipenga akihudumia kuku ikiwa ni sehemu ya mradi uliopo kituo cha Watoto yatima Buza.

Mbuzi,sehemu ya mradi uliopo katika eneo la kituo cha watoto yatima cha Valentine chidren'home.


Askofu Mokiwa akiwa na walezi wa kituo hicho.

NANI ANAJUA KUCHEZA MPIRA ?


                                                                   HAMNIWEZI!
Askofu mokiwa akicheza mpira na watoto yatima wa kituo cha Valentine Chidren's home.




kisima cha maji kinachotumia umeme wa solar kwa ajili ya kuhudumia  kituo cha Watoto yatima Valentine.




No comments:

Post a Comment