Wednesday 18 November 2015

PICHA ZA MATUKIO MASHINDANO YA UIMBAJI.

Washindi wa kwanza kwaya ya  St Thomas Yombo.
WOTE MMEIMBA VIZURI
Father Jonson Lameck mratibu wa vijana wa Dayosisi akitoa neno la pongezi


                                                           TUMESHINDA.
Waalimu wa kwaya zilizoshinda wakiwa wameshika vikombe vya ushindi baada ya kukabidhiwa na Canon John Mlekano katika kanisa la Mt Albano Upanga.


 
MSHINDI NI ?
Jaji wa mashindano hayo Lazaro Mashili akitaja washindi.


Jopo la waalimu wa vikundi vya kwaya kumi na moja.



No comments:

Post a Comment