Monday 23 November 2015

MATUKIO KUWEKWA WAKFU ASKOFU JULIUS LUGENDO MKOANI MBEYA.

HONGERA ASKOFU LUGENDO


Askofu Julius Lugendo akila kiapo.

Askofu Lugendo akiendesha ibada ya chakula cha Bwana.

Askofu mstaafu kanisa Anglikana TZ akihubiri katika ibaba ya kuwekwa wakfu Askofu Lugendo.

Waumini wakiwa katika maandamano ya Ibada hiyo.

Profesa Kabudi msajili kanisa Anglikana TZ akisoma ratiba ya Ibada ya kuwekwa wakfu Askofu Lugendo.

Jopo la Mapadre waalikwa katika ibada ya kuwekwa wakfu Askofu Lugendo.

Kanisa lililofanyika Ibada ya kuwekwa wakfu Askofu Lugendo mkoani Mbeya.

No comments:

Post a Comment