Sunday 24 July 2016

Marafiki wakipaka rangi jengo la kituo cha watoto yatima.

Gari lilitolewa na Dayosisi kusaidia kituo cha Yatima likiwa katika hali nzuri baada ya kukarabatiwa.

Kituo hicho pia kinaendesha miradi mbalimbali ikiwemo bustani za mboga na ufugaji.

Ma Sister ambao ndio walezi wa kituo cha yatima wakishiriki michezo na watoto hao pamoja na marafiki.





No comments:

Post a Comment