Monday 18 July 2016

WANANCHI WALISHUKURU KANISA ANGLIKANA DAYOSISI YA DAR ES SALAAM KWA HUDUMA YA MAJI.

Canon Howard Castlebery toka nchini Marekani akizindua kisima kilichopo Tuangoma ambacho amekifadhili kupitia Dayosisi ya Dar es salaam.

Katibu mkuu wa Dayosis Canon Jonathan Shenyagwa katikati  akizungumza na mkuu wa shule ya Sekondari Minaki  kulia Mwl Harold Chungu katika ziara ya uzinduzi wa kisima.


Canon Joseph Opiyo akizindua kisima kwa maombi shule ya Sekondari Minaki Kisarawe Dsm.


Canon Howard akizindua kisima.


Kisima kimezinduliwa


Bwawa la maji yaliyokuwa yanatumiwa na wanafunzi wa Minaki na wakazi wa Kisarawe ambayo si salama kwa matumizi ya binadamu.

Katibu mkuu wa Dayosisi akisalimiana na waamini wa Kianglikana kanisa la Damu ya Yesu takatifu lililopo Ruvu Stesheni kabla ya uzinduzi wa kisima.

Kisima kikifanyiwa maombi


Kigango cha Damu ya Yesu takatifu ambacho waamini wake walio wengi wana asili ya kimasai.Katibu mkuu pamoja na wafanya kazi wa Dayosisi waliokuwa katika ziara hiyo wamejitolea mifuko ya Saruji kwa ajili ya ujenzi wa Kigango cha kisasa.


Huduma ya uchimbaji kisima ikiendelea katika kijiji cha Kisezi wilaya Bagamoyo
Wananchi wa kijiji cha Kisezi wakilishukuru kanisa.

No comments:

Post a Comment