Sunday 24 July 2016

ZIARA YA MARAFIKI TOKA NCHINI MAREKANI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA VALENTINE CHILDRENS HOME KILICHOPO BUZA DSM.WAIOMBA JAMII KUWA NA MOYO WA UPENDO KWA WATOTO HAO NA KUWASAIDIA.

Mmoja wa marafiki akiwa amembeba mtoto yatima.


Marafiki toka nchini Marekani wakiwa na watoto yatima baada ya kwenda nao eneo la michezo la FUN CITY Kigamboni ambapo walicheza nao,wakala na kunywa.



Afisa Habari wa Dayosisi Yohana Sanga kushoto akiwa na mmoja wa marafiki.

No comments:

Post a Comment