Thursday 29 December 2016

Kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam latekeleza sera ya upandaji miti jiji la Dar es salaam.

Askofu Dr Valentino Mokiwa akiwa na Askofu mkuu wa Kanisa Anglikana Tanzania Jacob Chimeledya [kushoto]na mwakilishi toka ofisi ya mkuu wa mkoa Dar es salaam na baadhi ya watumishi wa Dayosisi wakiwa katika mazungumzo katika zoezi la upandaji miti lililofanyika viwanja vya kanisa kuu Mt.Albano Upanga Dec 2016.







Askofu Mokiwa akishirikiana na mwakilishi ofisi ya mkuu wa mkoa Dar es salaam katika zoezi la upandaji miti.

No comments:

Post a Comment