Thursday 29 December 2016

                                                               NAFASI ZA KAZI.
Kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam inakaribisha maombi ya nafasi za kazi zifuatazo.
1,Mkuu wa shule ya Sekondari Buza
2,Mkurugenzi wa fedha wa Dayosisi.
3,Afisa Bima,Anglo Insuarance


Kwa maelezo zaidi fika ofisi ya Dayosisi makao makuu Ilala Amana mtaa wa Moshi au piga simu no 0713,233573.Mwisho wa kupokea maombi ni Februari 2017.

No comments:

Post a Comment