Thursday 29 December 2016

MATUKIO MISA YA X MAS NA UTOAJI MISAADA KITUO CHA WATOTO YATIMA.

Askofu  Dr Valentino Mokiwa akimvisha kiatu mmoja wa watoto yatima wa kituo cha Valentine kilichopo Buza Dsm ikiwa ni sehemu ya msaada uliotolewa na akina Mama wa Kikristo wa kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam.[UMAKI.]

Askofu Mokiwa Akiendesha misa ya Xmas Kanisa la Mt.Cesilia Kinyerezi iliyokwenda sambamba na kupandisha Kigango hicho na kuwa mtaa kamili.

Umoja wa akina mama wa Kikristo Kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam wakitoa msaada kituo cha watoto yatima kinachomilikiwa na kanisa Anglikana.


No comments:

Post a Comment