Sunday 20 September 2015

ASKOFU MOKIWA AONGOZA HARAMBEE.


Askofu Dakta Valentino Mokiwa akifungua kwa sala zoezi la harambee kuchangia ununuzi wa viwanja Kigango cha Makoka Ubungo Dsm tendo lililofanyika katika  mtaa wa mt Batholomayo Ubungo.
Askofu Mokiwa akiwa na Mapandre na Mashemasi waliohudhuria harambee hiyo.


Mwenyeji wa Harambee Shemasi Stephen Siwa wa kanisa Anglikana Ubungo

Meza ya uhasibu,Katika harambee hiyo Ahadi ilikuwa sh,9,765800,Zilizolipwa sh,2,686,800 na kiasi kilichobaki ni 7,079000

Kwaya ya Kanaani ikiimba katika Harambee hiyo

Peter Mamkwe,mpiga drums wa Kaanani kwaya.

Jengo la kanisa la Mt Batholomayo Ubungo Anglikana likiwa katika hatua za ujenzi


No comments:

Post a Comment