Sunday 27 September 2015

IBADA YA KIPAIMARA

BWANA AKUBARIKINI NA KUWALINDA.

Askofu Dakta Valentino Mokiwa akiendesha ibada ya Kipaimaira katika kanisa la Mt Philipo lililopo Ukonga Mazizini jijini Dar-er-salaam ambapo katika ujumbe wake aliwasihi waumini kuishi maisha matakatifu ili kujenga familia zenye watoto wenye hofu ya Mungu.
                                                          MBUZI  WA SUPU.
Askofu Mokiwa akipokea zawadi ya mbuzi toka kwa wazee wa kanisa la Mt Philipo lililopo Ukonga Mazizini jijini Dar-er-salaam.
TUMEKUELEWA BABA ASKOFU.
Wahitimu wa mafunzo ya Kipaimara katika kanisa Mt Philipo Ukonga Mazizini wakimsikiliza kwa makini Askofu Mokiwa.
Wahitimu wa Kipaimara Mt St Peters Mbezi Luisi.
Watoto wa Askofu Mokiwa Joseph na Lilian wakitambulishwa na Baba Askofu kanisa la St Peter Mbezi Luisi
                                   CHAGUENI KIONGOZI  KWA MAPENZI YENU.
Askofu Mokiwa aliwasihi waumini kuchagua kiongozi kwa kufuata matakwa ya nafsi yao na si kwa kushinikizwa na mtu yoyote katika  uchaguzi mkuu ujao.
Padri Kupera akimbatiza mtoto katika kanisa Anglikana Mt Paulo Ukonga Dar es salaam
Kwaya ya Amani Mt Paulo Ukonga.

No comments:

Post a Comment