Friday 18 September 2015

MATUKIO YA KONGAMANO LA AMANI KATIKA PICHA.

Askofu wa kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar-es-salaam Dakta Valentino Mokiwa akichangia hoja katika Kongamano la Uhuru,haki na Amani kuelekea uchaguzi mkuu lililofanyika katika ukumbi wa Blue Peal Jijini Da-es-salaam.

Inspector General wa Polisi IGP Ernest Mangu akifafanua baadhi ya hoja kaika kongamano hilo

Askofu  Dakta Valentino Mokiwa akisikiliza kwa makini hoja zilizokuwa zikitolewa katika kongamano hilo.

Profesa Baregu alikuwa ni mmoja kati ya washiriki wa kongamano hilo.

Askofu Josephat Mwingira akisistiza jambo katika kongamano hilo.

Washiriki wakiwa katika sala.

Askofu wa kanisa la ufufuo na uzima Joseph Gwajima akitoa mchango wake wa mawazo katika kongamano hilo

No comments:

Post a Comment