Sunday 20 September 2015

GOODY NEWS

                             DAYOSISI YA DAR-ES-SALAAM
   KANISA ANGLIKANA                                          TANZANIA

           HABARI NJEMA

Uongozi wa kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar-es-salaam unapenda kuwataarifa waumini na watanzania kwa ujumla kuwa sasa kanisa limeanzisha Idara maalumu ya Mawasiliano itakayoshugulika na ukusanyaji wa taarifa na matukio mbalimbali ya kikanisa kisha kuyarusha kupitia mitandao ya kijamii na katika ubao wa matangazo wa Dayosisi.

Idara inaomba Maaskofu,Mapadre na Mashemasi kuwasilina na Idara hii pindi kunapokuwa na matukio muhimu ya kikanisa.
Pia tunakaribisha matangazo kwa bei nafuu.

Kwa maelezo zaidi fika ofisi kuu ya Dayosisi Ilala Dar-es-salaam au piga simu namba 0713-233575,Pia unaweza kutembelea diocesetz.blogspot.com

No comments:

Post a Comment